1 Oktoba 2012 - 17:03

Tovuti ya gazeti la al-Watan nchini Syria leo imetoa habari kuwa, jeshi la serikali ya Syria na waasi wamepambana jana huko Aleppo, mji wa kaskazini nchini humo, na waasi 235 wameuawa katika mapambano hayo.

Gazeti hilo pia limesema, maduka zaidi ya 500 yameharibiwa na moto uliosababishwa na risasi mwishoni mwa wiki iliyopita.